HUDUMA KWA WANAJUMUIYA/ ASSISTENZA

 Jumuiya ya Watanzania Italia (IN CAMPANIA) itakuwa inatoa huduma kwa wanajumuiya yaani wanachama hai watakaokuwa wamejiandikisha na kufuata taratibu zote .


Kuanzia mwezi Septemba 2022  zitapatikana huduma zifuatazo:

  • Assistenza legale/ huduma zote za kisheria
  • Kesi za madai ya aina zote,
  • Maombi ya vibali vya ukazi
  • Nafasi za kazi
  • Nafasi za masomo na kozi za ujuzi mbalimbali
  • Usajili wa kampuni na biashara
  • Kufahamu haki zako na wajibu kama mgeni 

Huduma zote hizo zitatolewa na wabobezi wa sheria na masuala ya biashara na kazi