SHEREHE ZA PASAKA NAPOLI (PASQUA A NAPOLI)

Siku ya jumapili jioni  Watanzania waishio Napoli na vitongoji vyake kwa pamoja walikusanyika katika kusherehekea sikukuu ya pasaka. Sherehe hiyo iliyoandaliwa na akina dada wa kitanzania wanaoishi Napoli  iliendelezwa kwa muziki ,vinywaji  na nyama choma. Blog hii  inatoa pongezi nyingi kwa kina dada wote kwa kutufanya tujisikie tuko nyumbani tukiwa ughaibuni pongezi kwa maandalizi mazuri na  kwa mapichi mazuri ya mahanjumati. Kitendo hiki ni moja ya malengo ya jumuiya ya Watanzania Italy kuwaunganisha Watanzania na kujenga umoja na ushirikiano. 
 
PICHANI NI POZI ZA PASAKA

Kwa picha zaidi za pasaka GONGA HAPA
(picha zote kwa hisani ya katibu wa habari  George Mayaka)

Post a Comment

1 Comments

Anonymous said…
Yaleyale na walewale miaka yote... Kwani hamna creativity ya kuboresha blogu yenu?? inachosha.

Panyabuku,