TANZIA

 


Salehe Omari Mashaka

        Uongozi wa jumuiya ya Watanzania Italia (In Campania) Unasikitika kutangaza kifo cha Mtanzania alietambulika kwa majina SALEHE OMARI MASHAKA kilichotokea katika hospital ya  OSPEDALE DEL MARE ASL NAPOLI CENTRO siku ya tarehe 20/04/2023 alikokuwa akipatiwa matibabu tangu alipolazwa siku ya jumapili tarehe ya 15/04/2023

Mipango ya kusafirisha mwili wa marehe inafanywa kwa kusimamiwa na Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Italia in Campania.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Italia (Presidente) Sig.ra Judith Joseph amewataka Watanzania wote kujitokeza kwenye mikutano ili kuweza kuchangia taratibu hizo. Ubalozi wa Tanzania unafanyakazi kwa karibu na uongozi pamoja na wakala wa mazishi na taarifa za awali zinasema document zote muhimu zimekamilika. 

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA

AMIN.


Post a Comment

0 Comments