Tutakuwa tukiwaletea mrembo wa Kitanzania Italy kila mwezi,kwa hiyo kaeni mkao wa kula kwani warembo hao wote wana ujumbe mwanana kwetu na pia utapata bahati ya kuwa na contact na warembo wa kitanzania hapa Italy na Ughaibuni kwa jumla. Kwa wale wana mitindo wetu huko Tanzania msisite kuwaalika warembo wetu katika show zenu bora mtoe taarifa mapema. Nia hasa ni kutaka kuwatambulisha warembo wetu mbele ya jamii na katika fani mbali mbali za kibiashara na kuweza kuchangia kutoa ujumbe kwa jamii.Mrembo wetu wa mwezi huu wa june atolewa rasmi jumamosi tarehe 28/06/2008.
*Gfamily *

4 Comments