BIRTHDAY PARTY !!

Ndugu Kombo Kajembe anapenda kuwakaribisha  Watanzania wote wanaoishi Italy  katika sherehe ya kuzaliwa ya  mwanae ABDI KOMBO (pichani) ambaye anatimiza miaka 18. Sherehe itafanyika mjini MODENA siku ya tarehe 25/09/2010

Post a Comment

1 Comments

Anonymous said…
happy birthday signori abdo kombo tuna kutakia kila la kheri katika sherehe yako ya kufiksha miaka 18 nanne haya tena ndiyo ukubwa huo nisalimie baba yako kajes