''La democrazia non va vissuta in modo formale o distaccato"
''L'impegno per la crescita della democrazia deve essere assiduo anche nei Paesi europei, dove la democrazia stessa e' una realta' radicata e consolidata. La sfida per l'estensione della partecipazione politica e per la garanzia dei diritti non deve, infatti, conoscere cadute di tensione. E' una scommessa permamente che trova sempre nuove condizioni storiche e sociali per affermarsi''.
Lo ha sottolineato il presidente della Camera, Gianfranco Fini, nel suo intervento al convegno inaugurale delle Giornate del libro politico nella Sala della Lupa a Montecitorio... click
4 Comments
Nauliza tu na sina nia mbaya.
Asante kwa jibu zuri. Ni wazo zuri kujichanganya na wenyeji hasa wakati huu ambapo wenyeji wengi wana wasiwasi na kila mgeni anayekuja nchi mwao!
Ikiwezekana ningependa kupendekeza kwamba matumizi haya ya lugha yazingatie malengo ya mada husika. Kama mada inahusu mambo ya muhimu kwa Watanzania , pengine ni vizuri mkatumia Kiswahili ili ujumbe uweze kuwafikia walengwa wengi zaidi - tukiwemo sisi ambao hatuishi Italia na ambao hatujui Kiitaliano.
Tuko pamoja na Mungu Aendelee kuibariki Tanzania!