SHEREHE ZA UHURU 2010

UHURUDAY

JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA INAWATANGAZIA NA KUWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WANAOISHI ITALIA NA NJE KUWA SHEREHE ZA UHURU DAY ZITAFANYIKA NAPOLI SIKU YA TAREHE 11/12/2010 KUANZIA SAA KUMI NA MOJA JIONI.
TAFADHALI TUZINGATIE MUDA KWANI KUTAKUWA NA WAGENI WENGI KUTOKA NJE UKIWEMO UGENI RASMI KUTOKA UBALOZI WA TANZANIA ROME.
KWA WALE WOTE WANAOTOKA MBALI MNAWEZA KUWASILIANA NASI MAPEMA KWA AJILI YA MALAZI ,USAFIRI NK.

Contact: Tel. +39 348 8307269

Post a Comment

1 Comments

Unknown said…
nawapongeza kwa kufanya sherehe ya uhuru wa Tanzania nje ya nchi. Hiyo inonyesha jinsi mnavyojivunia kuwa watanzaia. Napenda kuwakumbusha kuwa wajibu wa kuijenga Tanzania ni wananchi wote waishio ndani na nje ya nchi. kila la kheli.