ROME: Ubalozi wa Tanzania Roma, kwa kushirikiana na Tanzania Diaspora
ya Italia,
tarehe 25 Aprili 2015 walisherehekea miaka 51 ya Muungano wa
Tanganyika na Zanzibar. Sherehe hizo ambazo zilifanyika katika ukumbi wa
Ubalozi mjini Roma zilifana sana.
![]() |
|
Baadhi ya Watanzania walioshiriki kwenye sherehe za muungano
wakiimba wimbo wa kuisifu Tanzania( Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo wote)
|
![]() |
|
Mhe. Balozi (kati) akiwa kwenye picha
ya pamoja na mwenyekiti wa Diaspora (kulia) na baadhi ya Watanzania wanaoishi Napoli.
|
![]() |
|
Afisa wa Ubalozi, Bw. Amon Ruvurula
(kulia) na Bw. Seraphino Makole wakifurahia sherehe za Muungano.
|
![]() |
|
Afisa wa Ubalozi, Bw. Karim Msemo, na
mke wake wakiwa kwenye picha na Bi. Felista
Kayombo, ambaye pia ni mtumishi wa Ubalozi.
|
![]() |
|
Mhe. Balozi Msekela akiwa kwenye picha
ya pamoja na Katibu wa Tanzania Diaspora in Italy, Bw Andrew Mhella (kulia) na Bw.Mnyamani
kutoka Napoli
|
![]() |
|
Bw. Ayoub Mndeme, Mwambata Kilimo akiwa
na mama Mndeme kwenye sherehe za Muungano.
|
![]() |










0 Comments